KITABU CHA KWA MUNGU WOTE TUPO SAWA
Kilichonichemsha
mpaka nikatunga kitabu hiki cha Kwa Mungu wote ni saw ni kutoa elimu mbalimbali
baada ya kuona dunia hii hatupo sawa. Dunia hii haiku sawa kwa sababu kuna
matabaka baina ya Masikini na Matajiri, Mwenye uwezo na wasio na uwezo, wenye
afya na wagonjwa, wenye viungo vyote na
wenye hawana viungo vyote, wakulima na wafugaji na kufanya watu hhapaDuniani
kutokuwa sawa yaani upande wa Nyerere na wa Mwenye upande wa Nyerere ni upande
wa Duniani na upande wa mwenye ni upande wa Mbinguni ni tofauti na upande wa
Duniani kwa sababu Mbinguni wote tupo sawa na hakuna ubaguzi inamaana wako sawa
kwa sababu Mbinguni hakuna Tajiri, wala masikini, ubaguzi wa rangi, wala hakuna
utengeno kutokana na utajiri au umasikini wa Mtu. Bali Mbinguni kuna makazi ya
kuwahifadhi watu wote.
Hivyo
Mungu ndiye anayetoa utofauti kwa mwanadamu na ndiye anayetofautisha kati ya
masikini na tajiri lakini ni Mungu huyohuyo anayefanya watu haohao kuwa sawa
hakuna ubaguzi wa aina yoyoten ile mtu mwenye fedha nyingi na ambaye hana
wanakuwa na hadhi ileile ya usawa.
Mbinguni
hakuna cheo nitaeleza katika sura zinazofuata, kama ilivyo mimi ni wakili na
uwakili wangu utbaki hhapahhapa duniani; hata ilivyo kwa madaktari,enginia,
wakuu mbalimbali, wakurugenzi, mbinguni ni usawa uleule kwa sababu mbinguni
hakuna kusemakwamba Fulani ni Mkuu lakini kwa Mbinguni wote ni sawa na tunahaki
kwa Mwenyezi Mungu.
Kama
nilivyosema kilicho nichemsha kuandika kitabu hiki ni baada ya kuona kwamba
haki ambazo ni za msingi hhapa Duniani kwa upande wa Mbinguni haki hizi
zinagawiwa sawa kwa sawa pasopo kuangalia rangi ya mtu, cheo wala wadhifa wa
mtu, aliokuwa nao hhapa duniani bali kila kituna huduma zote hutolewa sawa kwa
sawa na hiyo ndio sababu ya mimi kutunga kitabu hiki ili kuwhapa faraja
wagonjwa, wazee, watu wenye maisha magumu ya duniani, walikata tamaa ya maisha
kwa sababu kinaeleza kwamba
tutanyanyasika tu hhapa duniani lakini Mbinguni hakuna Manyanyaso kama
hayo na utaishi maisha ya usawa bila upendeleo hata katika Biblia inaeleza kuwa
kuna Razalo alikuwa masikini Duniani lakini alikuwa na taji lakekubwa Mbinguni
tofauti na Yule tajiri wa Duniani ambaye alikuwa hana kitu huko aliyakosa hata
tone la maji.

Maoni
Chapisha Maoni
thank you very much asante sana