NAMPENDA MUNGU NITAUNGAMA DHAMBI ZANGU NIPATE UZIMA WA MILELE

 

SURA YA KWANZA

NAMPENDA MUNGU NITAUNGAMA  DHAMBI ZANGU NIPATE UZIMA WA MILELE.

Mtunzi wa kitabu hiki ni Mkiristo mkatoliki ambaye ana imani kubwa na kanisa hilo ambalo limeenea kokote Duniani. Hivyo anayofuraha kubwa kuzaliwa mkatoliki.

Richa ya kuwa ni Wakili wa Kujitegemea ila kupitia uwezo wa Roho Mtakatifu amemuelekeza atunge kitabu hiki ili kuwaoongoza watu watubu dhambi zao kabla ya kupokea Ekarist takatifu au watu watubu dhambi zao kabla ya kufa.

Baada ya kutubu dhambi zako unakuwa umezaliwa upya na ukisema kwamba huna dhambi utakuwa umejidanganya mwenyewe.

Mtunzi wa kitabu hiki hajataka kunakiri maneno ya kitabu hiki sehemu yoyote ile au kukopea maneno yoyote yale kutoka kwenye Internent au kutoka kwa watunzi mbali mbali bali ameonesha tu kalama yake kupitia Uwezo wa Roho Mtakatifu ambaye kupia yeye ndio vipaji vyote vinatoka kwake.

Hawezi kamwe kutenda dhambi ya kusema Uongo ili kukufurahisha wewe msomaji. Maneno yote ya kitabu hiki yametoka kichwani mwake isipokuwa vifungu vya bibilia ambavyo lazima uvirejee kutoka kwenye kitabu kitakatifu.

 

Kuna mtu mmoja alitembelewa na Padri ili aweze kupokea sacrament ya Kitubio baadaye apate sacrament ya Kommonio, huyo mtu akasema, Padri kwa sasa sipo tayari naomba uje jioni.

Padri akaenda jioni wakasema Yule mtu amefariki. Ina maana alifariki kabla ya kutubu dhambi zake. Hata bibilia takatifu imesema Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa (Marko 13:32-37)

32 “Hakuna ajuaye siku hiyo itakuwa lini au saa ngapi; hata malaika mbinguni hawajui wala mimi Mwana sijui, isipokuwa Mungu Baba peke yake. 33 “Jiandaeni, muwe macho. Kwa maana hamjui wakati mambo haya yatakapotokea. 34 Ni kama mtu anayesafiri na kuwaachia watumishi wake madaraka, kila mtu na wajibu wake; kisha akamwambia mlinzi wa mlango awe macho. 35 Kesheni basi, kwa sababu hamjui ni lini bwana mwenye nyumba atarudi. Anaweza akaja jioni, au usiku wa manane au alfajiri au mapambazuko. 36 Kama akija ghafla, pasipo ninyi kumtazamia, asije awakute mmelala. 37 Na haya ninayowaambia ninyi nawaambia watu wote: Kesheni!”

Hayo si maandishi yangu  bali ni neno la Mungu mwenyewe. Usipuuzie haya ambayo Mungu anaongea na wewe kupitia mdomo wa Wakili James Lubus. Ipo siku ya kiama Mungu atakuambia , Kwanini ulimpuuzia maandishi ya Wakili James Lubus? Ukampuuza badala ya kusoma neno la Mungu ukaanza kuangalia video za X, na wakina dada wanaokaa na kuvaa nusu uchu, madanga na wadangiwa kwenye mtandao pamoja na mambo ambayo hayampendezi Mungu. Ukaacha kusoma makala ya wakili msomi ukambeza badala yake ukajikita kwenye mabo ya kidunia na kisimu chako pasipo kujua kwamba hayo yana mwisho wake.

Baada ya kifo chako ndio unakutakana na Moto wa Jehanamu  unaowaka kama tanuru la moto na ndio unakumbuka na kusema. Wakili ninaomba unisaidie kitabu chako kinisaidie kuwaambia ndugu zangu watafute kitabu chako ili na wao wasije huku kwenye moto mkali. Hapo utakuwa umechelewa kweli kweli.

Ninaomba uwaambie ndugu zangu kuwa alichokiandika Wakili James Lubus Kuwa Muungame dhambi Muoone Ufalme wa Mbinguni ni sawa hadithi ya Tajiri na Lazaro.

Katika Luka 16:31 tunaona Ibrahimu alimwambia yule tajiri kwamba, “Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.” 

Hivyo shauri zako msomaji, binadamu kufa ni kazi raisi sana. Mtu hufa kwa sekunde moja tu. Na ndio unasikia wanasema, Fulani ialikuwa mzima tu na leo nimemuoona ila nimesikia ameanguka bafuni ghafla.

Usipuuzie haya ninayo kuambia ndugu Msomaji. Wewe hukujileta duniani wala hukujiumba. Hivyo amini Mungu yupo na ipo siku kutakuwa ndio siku ya kiama. Sasa siku ya Kiama ikukute umeshatubu dhambi zako na Mungu atakusamehe tu hata kama uliiba, ulipora, ulikaba.

Mwishoni Mungu atambariki mwandishiwa kitabu hiki na atamsaidia aingie Mbinguni naye pia baada ya kutubu zambi zake.

Kitabu hiki pia kinapokelewa na Mwenyezi Mungu kujibu maombi aliyoomba katika Mlima Mwanauholo siku ya Jumapili ya Matawi hasa hasa katika maombi namba moja, mbili, tatu, nne, tano, sita, saba nane na tisa na kumi. Na baada ya kumaliza kuandika vitabu kumi vya Mungu fedha zitawekwa kwenye akaunti yake ambayo ni 62110018306

Kitabu hiki kimeandikwa kwa machozi ya damu ila kinagawiwa bure kabisa. Hivyo na wewe ukikipata toa kopi tano mpatie mwenzako. Usipuuzie maana ukipuuzia hutafanikiwa kwenye malengo yako. Ila ukirudi nyuma na kutoa kopi hata kama umefukuzwa kazi utarudishwa kazini. Hata kama mambo yako yahaendi yataenda tu.

Kitabu hiki hakiuzwi ila ukitaka kuchangia huduma ya kuwasaidia watu waingie mbinguni kwa kutubu zambi zao unaweza ukalipa kupitia namba zifuatazo

Lipa namba      10494251 benk ya Crdb

Lipa namba 5486865 SIIA ADVICATES mawakili  (Voda)

Au ukaweka chochote kile hata kama ni shilingi mia kwenye akaunti namba 62110083480 jina  Christina Lubus

Maoni

Machapisho Maarufu